Thursday, June 16, 2016

Hii Ndiyo Tofauti Kati Ya 3G, H & H+

Watumiaji Wengi wa simu za smartphone wamekuwa wakijiuliza tofauti ya 3g, H na H+

 3G ndio Teknolojia mama ndani yake ndio unakuta teknolojia kama wcdma, hspa na hspa+

Simu ikionyesha 3G ujue hapo unatumia WCDMA
Simu ikionyesha H au 3.5G ujue hapo unatumia HSPA
Simu ikionyesha H+ au 3.75G ujue hapo ni HSPA+

tofauti zake hapo ni kwamba 3G inakaa na chaji na speed yake ni ndogo mara nyingi hutumika tu kama standby ukiwa hufanyi chochote inakaa hiyo. 

H na H+ zenyewe zina speed kubwa, H+ ina speed zaidi lakini zinakula sana charge.


Pata Makala Zetu Kwenye Simu Yako Kupitia Android Application ya Romanus Technology, Bonyeza Hapa Kuinstall

Maoni yako Hapa chini

Usipitwe Na Hii

Jinsi Ya Kupata "Likes" Nyingi Facebook

Watumiaji wengi wa facebook wamekuwa wakitamani kupata LIKES   nyingi kwenye status na picha zao wanazo post facebook lakini wameshindwa...

Back to Top